Main Categories
← Nyumbani
Past Papers: Chagua Darasa
← Rudi Nyuma

Chamwino & Mvumi Usaili Uchaguzi Mkuu


Chamwino & Mvumi Usaili Uchaguzi Mkuu

Msimamizi wa Uchaguzi wa Majimbo ya Chamwino na Mvumi anawatangazia waombaji wa ajira za muda kwa nafazi ya Msimamizi wa Kituo cha Kupigia Kura; Msimamizi Msaidizi wa Kituo cha Kupigia Kura pamoja na Karani Mwongoza wapiga kura; kuhudhuria usaili utakapofanyika tarehe 14 Oktoba, 2025. Usaili utafanyika kuanzia saa 1:00 asubuhi.

Kila mwombaji anatakiwa kufika akiwa na moja kati ya vitambulisho vifuatavyo:-

1. Kitambulisho cha Taifa, Kitambulisho cha Mpira Kura, Leseni ya Udereva, Pasi ya Kusafiria au barua ya utambulisho kutoka kwa Mtendaji wa Kijiji/Mtaa anaotoka/ishi.

2. Orodha ya wasailiwa pamoja na kumbi za usaili zimeambatishwa pamoja na tangazo hili.

Aidha, orodha zimebandikwa katika ofisi za Watendaji wa Kata na Vijiji.

DOWNLOAD PDF HERE

KUPATA PDF NYINGINE ZA MAJINA YOTE FOLLOW CHANNEL YETU - BONYEZA HAPA

Follow our WhatsApp Channel - Click Here